- BREAKING NEWS: TANZANIA YAKANUSHA KUWASHIKILIA KINA DR SLAA NA MWAMBUKUZI
- BREAKING NEWS: RAIS WA MAPINDUZI WA NIGER AMTEUA WAZIRI MKUU MPYA
- BREAKING NEWS: SHILINGI YA KENYA YAPOROMOKA VIBAYA DHIDI YA DOLA
- BREAKING SEREKALI YA RWANDA YAKASIRISHWA NA UBELGIJI KUTOMUIDHINISHA BALOZI WAKE
- BREAKING NEWS: RAIS KIM AKUTANA NA WAZIRI WA ULINZI WA URUSI
NEWS: RAIS ATAKA ASKARI WALIOPANDA VYEO KUENDELEA KUSIMAMIA WAFUNGWA
Dodoma. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Magereza kuhakikisha askari wake waliopanda vyeo kuendelea kutekeleza majukumu yao kama kawaida na kuacha tabia ya kurundikana ofisini
NEWS: TANZANIA YAPOTEZA ZAIDI YA TRILIONI 153 KATIKA MAPATO NDANI YA MIAKA 9.
DODOMA: Ikiwa zimebaki siku chache kuanza kwa bunge la bajeti la mwaka wa fedha 2022/ 2023 Wadau wa Maendeleo wameitaka Serikali kuziba mianya iliyopo katika ukusanyaji wa Kodi nchini.Wamesema, nchi i
NEWS: UPINZANI WASHINDA KESI DHIDI YA SEREKALI
Arusha. Hukumu ya Kesi ya kupinga mabadiliko ya Sheria mpya ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019 iliyofunguliwa na viongozi wa Upinzani nchini Tanzania katika mahakama ya Haki ya Afrika Mashariki imetole
NEWS: RAIS SAMIA AAGIZA ALAMA YA MWENGE KUONDOLEWA DARAJA LA TANZANITE
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemwagiza Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Profesa Makame Mbarawa kubadilisha alama ya mwenge iliyowekwa kwenye daraja jipya la Tanzanite lililo
NEWS: SHIRIKISHO LA MUZIKI LAMKATAA STEVE NYERERE
Dar es Salaam. Wajumbe wanaodaiwa kushiriki katika kikao cha kumteua mchekeshaji Steven Nyerere kuwa msemaji wa Shirikisho la Muziki Tanzani (SMT), wamekana vikali bodi kuhusika kufanya uteuzi huo.Moj
NEWS: HALMASHAURI YA CHAMWINO YATAKIWA KUONGEZA BAJETI YA ELIMU
DODOMA: Halmashauri ya Chamwino imetakiwa kuongeza bajeti kwenye sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kutenga fedha na kuongeza idadi za shule jumuishi ili kuwasaidia wanafunzi wenye mahitaji maalum.Aki
WAZIRI ATAKA WASANII WAKONGWE KUTEULIWA KUONGOZA SANAA
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amewataka viongozi wa BASATA na COSOTA kuteua viongozi wenye fani ya sanaa hasa wakongwe wanaoijua sanaa vizuri ili waende kusimamia maswala y
NEWS: POLISI WANAOTUHUMIWA KWA MAUWAJI MTWARA WARUDISHWA MAHAKAMANI LEO
Mtwara. Maafisa saba wa Jeshi la Polisi nchini wanaotuhumiwa kwa mauaji ya mfanyabiashara wa madini mkoani Mtwara Musa Hamisi (25), wamefikishwa tena leo mahakamani, ikiwa ni kwa mara ya tano.Hata hiv
KIKOSI KAZI CHABAINI TUME YA UCHAGUZI SIO HURU
Dar es salaam. Mwenyekiti wa Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini Profesa Mukandala, amesema kuwa tume zote mbili za uchaguzi NEC na ZEC siyo huru na k
NEWS: RAIS WA UKRAINE AOMBA MAZUNGUMZO NA URUSI
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy leo Machi 19, 2022 ameomba kufanyika kwa mazungumzo ya kina ya amani na Serekali ya Moscow, akisema ndiyo nafasi pekee ya Urusi kupunguza uharibifu uliotokana na ma